1. Mradi wa Uismamizi wa Sekta ya Uvuvi katika Kanda ya Magharibi ya Bahari ya Hindi (SWIOFish) Kutoka Benki ya Dunia.
2. Mradi wa BLUEGRASI kutoka WIOMSA.
MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA MASHIRIKIANO NA WADAU WENGINE
1. Mradi wa SAPPHIRE katika eneo la Uvuvi na Mazao ya Baharini kwa pamoja Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais. Eneo hili linatekelezwa na kuratibiwa na FAO Tanzania.
2. Mradi wa SAMAKI II kutoka NORHED Norway na Chuo Kikuu cha Dar es Salam
.