Hafla ya Makabidhiano ya Ofisi kwa Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi...
Soma ZaidiUgawaji wa Boti za Uvuvi na Ukulima wa Mwani kwa Wananchi wa Mikoa yote ya Unguja...
Soma ZaidiIdara ya Uhifadhi wa Bahari ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi kwa kushirikiana na Kamisheni ya Utalii imefanya mafunzo...
Soma ZaidiMkuu wa Wilaya Kaskazini A Unguja tarehe 16/10/2023, amezindua mradi wa usimamizi shirikishi wa uvuvi katika Hifadhi ya TUMCA unaofadhiliwa na shirika la Blue Venture (BV). Mradi huo ni wa mwaka mmoja utakaotekelezwa na JDF kwa mashirikiano na usimamizi wa Hifadhi ya TUMCA...
Soma ZaidiWizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi tarehe 14/10/2023 ilijumuika na wananchi wanaoishi pembeni ya eneo tengefu la ufungaji wa pweza, Pongwe, kwa mavuno ya msimu wa Julai-Septemba, 2023. Ufunguaji wa mavuno hayo ulishuhudiwa na Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Kati...
Soma Zaidi