SERA MIPANGO NA UTAFITI
Idara ya Mipango Sera na Utafiti ina jukumu la Kuandaa na Kusimamia Utekelezaji wa Sera, Sheria na Mipango ya Wizara. Idara hii inaongozwa na Mkurugenzi ambae ni mteuliwa wa Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Dr. Salim Mohamed Hamza
Mkurugenzi Idara ya Sera Mipango na Utafiti
Idara hii inaundwa na Divisheni Kuu nne (4) ambazo ni:
Divisheni hii inahusika na shughuli za kuandaa, kusimamia nakufuatilia utekelezaji wa Sera, Sheria na Kanuni za Sekta ya Uchumi Buluu na Uvuvi
Divisheni hii inahusika kuandaa na kusimamia utekelezaji Mipango na Bajeti ya Wizara
Divisheni hii inahusika na kufuatilia na kufanya tathimini ya utekelezaji wa mipango ya Wizara
Divisheni hii inahusika na kuratibu tafiti na takwimu kwa Sekta ya Uchumi Buluu na Uvuvi



