Kukuza Uchumi wa Buluu kwa Maendeleo Endelevu
Fursa mpya kupitia uvuvi, bahari, nishati, na ubunifu kwa manufaa ya Zanzibar na vizazi vijavyo
02
03
Usimamizi Endelevu wa Rasilimali za Bahari Kulinda matumbawe, mwani, na bioanuwai ya bahari ili kuwezesha uchumi shindani na rafiki kwa mazingira
03
01
Kuimarisha Sekta ya Uvuvi kwa Maslahi ya Wavuvi Msaada wa teknolojia, masoko, elimu na miundombinu kwa ustawi wa wavuvi wa Zanzibar
01
02
KUHUSU SISI

Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi inaongozwa na Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi.

Katika ngazi ya kiutendaji Wizara inaongozwa na Katibu Mkuu akisaidiwa na Naibu Katibu Mkuu pamoja na Idara tano (5), Ofisi Kuu Pemba na Vitengo sita (6) vinavyoripoti moja kwa moja kwa Katibu Mkuu.

Aidha, Wizara ina jumla ya Taasisi nne (4) zinazojitegemea.

Kuigeuza Zanzibar kuwa kitovu cha maendeleo ya Uchumi wa Buluu katika Eneo la Magharibi ya Bahari ya Hindi.

Kuimarisha usimamizi na matumizi endelevu ya rasilmali za baharí kupitia fursa mbali mbali za uwekezaji katika uchumi wa buluu, ujasiriamali pamoja na uwezeshaji wa wananchi, na kuhakikisha haki na maslahi ya jamii katika fursa hizo.

Uvuvi na mazao ya Baharini
Nishati mbadala ikiwemo Mafuta na Gesi
Biashara na Miundombinu ya Baharini
Utawala wa Uchumi wa Buluu
Utalii
HABARI NA MATUKIO

Categories

At vero eos et accusamus et iusto odio digni goikussimos ducimus qui to bonfo blanditiis praese. Ntium voluum deleniti atque.

Melbourne, Australia
(Sat - Thursday)
(10am - 05 pm)
Shopping Cart (0 items)
Translate »