Dk Mwinyi Atoa vifaa kwa wakulima wa mwani Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa. Dk. Hussein Ali Mwinyiakigawa vifaa kwa wakulima wa mwani wa mkoani kisiwani pemba
02
03
Ufunguzi wa Diko la Samaki la Mkoani Pemba
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Soko la Mkoani Pemba.
02
03
Utangazaji wa Vitalu vya Mafuta na Gesi Asilia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe. Dk. Hssein Ali Mwinyi akiwa katika
hafla ya Uzinduzi wa Duru ya Kwanza ya Utangazaji
wa Vitalu vya Mafta na Gesi Asilia Zanzibar
03
01
Uzinduzi wa Diko la Samaki Mazizini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa. Dk. Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Diko la Samaki Mazizini Unguja.
02
03
KUHUSU SISI

Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi inaongozwa na Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi.

Katika ngazi ya kiutendaji Wizara inaongozwa na Katibu Mkuu akisaidiwa na Naibu Katibu Mkuu pamoja na Idara tano (5), Ofisi Kuu Pemba na Vitengo sita (6) vinavyoripoti moja kwa moja kwa Katibu Mkuu.

Aidha, Wizara ina jumla ya Taasisi nne (4) zinazojitegemea.

Kuigeuza Zanzibar kuwa kitovu cha maendeleo ya Uchumi wa Buluu katika Eneo la Magharibi ya Bahari ya Hindi.

Kuimarisha usimamizi na matumizi endelevu ya rasilmali za baharí kupitia fursa mbali mbali za uwekezaji katika uchumi wa buluu, ujasiriamali pamoja na uwezeshaji wa wananchi, na kuhakikisha haki na maslahi ya jamii katika fursa hizo.

Uvuvi na mazao ya Baharini
Nishati mbadala ikiwemo Mafuta na Gesi
Biashara na Miundombinu ya Baharini
Utawala wa Uchumi wa Buluu
Utalii
HABARI NA MATUKIO

Categories

At vero eos et accusamus et iusto odio digni goikussimos ducimus qui to bonfo blanditiis praese. Ntium voluum deleniti atque.

Melbourne, Australia
(Sat - Thursday)
(10am - 05 pm)
Shopping Cart (0 items)
Just a moment...